Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewataka wananchi wote kuendelea na shughuli zao kama kawaida kwa kuwa maandamano yanayozungumzwa hayapo na ni batili.Akizungumza leo Jumatano...
DAR
ES SALAAM: Rapper Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ jana jioni
alihamishiwa katika Kituo cha Kikuu cha Polisi (Sentro) jijini Dar es
Salaam kutoka Mvomero, Morogoro alikokuwa anashikiliwa...
KATIKA pasipoti yake ya kusafiria anatambulika kwa jina la Faustina Charles lakini kwa mashabiki wa Muziki wa Bongo Fleva wanamtambua kama Nandy a.k.a African Princess.
Anafanya poa katika...
Mwimbaji
maarufu wa muziki Bongo, Baraka Da Prince aliyesaini mkataba wa kufanya
kazi na label ya Rockstar 4000 mwaka jana 2016, ameamua kuachana na
lebo hiyo huku akibainisha...
Kama unakumbuka vizuri nyuma kidogo kuliwahi kuibuka na mchuano mkali kati ya Mwanadada Shilole pamoja na Snura Mushi, kwenye game la muziki hapa Tz, ikiwa kipindi hicho...
Mwanamuziki Bobby Brown amezidi kuumia baada ya kuzikwa jana mtoto wake Bobbi Kristina mwenye umri wa miaka 22 na mke wake anayeitwa Alicia Etheredge akikambizwa hospitali baada ya...
Director mdogo ambae anafanya vizuri kwa sasa katika game hii ya bongo kwa kufanya video kali na kupelekewa kukubaliwa na wasanii kibao na kutaka kufanya nae video amefunguka na kusema kwamba...
Nuh mziwanda amesema kuwa sauti inayosikika kwenye audio iliyovuja akisikika akimtongoza wema sio yake, amedai hiyo audio imetengenezwa.
Akiongea na mtandao wa Bongo5 Nuh...