ADSENSE FLOAT CENTER

Wednesday, 25 April 2018

Polisi Yatoa Onyo Kali kwa Watakaoandamana Kesho " Tumejipanga Hakuna Maandamano Yatakayofanyika Kesho"

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewataka wananchi wote kuendelea na shughuli zao kama kawaida kwa kuwa maandamano yanayozungumzwa hayapo na ni batili.Akizungumza leo Jumatano...

Sunday, 7 January 2018

Nay wa Mitego Ahamishiwa Sentro Dar, Huenda Akapandishwa Mahakamani!

DAR ES SALAAM: Rapper Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ jana jioni alihamishiwa katika Kituo cha Kikuu cha Polisi (Sentro) jijini Dar es Salaam kutoka Mvomero, Morogoro alikokuwa anashikiliwa...

USILO LIJUA KUHUSU NANDY

KATIKA pasipoti yake ya kusafiria anatambulika kwa jina la Faustina Charles lakini kwa mashabiki wa Muziki wa Bongo Fleva wanamtambua kama Nandy a.k.a African Princess. Anafanya poa katika...

BARAKA DA PRINCE AJITOA ROCKSTAR 4000 YA ALIKIBA, ATAJA SABABU

Mwimbaji maarufu wa muziki Bongo, Baraka Da Prince aliyesaini mkataba wa kufanya kazi na label ya Rockstar 4000 mwaka jana 2016, ameamua kuachana na lebo hiyo huku akibainisha...

Mesen: Mastaa ‘Wameniliza’ Sana!

RE Facebook Twitter PRODYUZA wa Ngoma ya Hainaga Ushemeji ya Man Fongo, Jerry Boniphace ‘Mesen Selekta’...

Tuesday, 4 August 2015

EXCLUSIVE: KAULI YA SNURA BAADA YA SHILOLE KUFUNGIWA MUZIKI IKO HAPA

Kama unakumbuka vizuri nyuma kidogo kuliwahi kuibuka na mchuano mkali kati ya Mwanadada Shilole pamoja na Snura Mushi, kwenye game la muziki hapa Tz, ikiwa kipindi hicho...

Mke Wa Bobby Brown Akimbizwa Hospitali Baada Kumuaga Bobbi Kristina

  Mwanamuziki Bobby Brown amezidi kuumia baada ya kuzikwa jana mtoto wake Bobbi Kristina mwenye umri wa miaka 22 na mke wake anayeitwa Alicia Etheredge akikambizwa hospitali baada ya...

Hanscana “Ma-Director wengi wa bongo wanapenda umwinyi”

Director mdogo ambae anafanya vizuri kwa sasa katika game hii ya bongo kwa kufanya video kali na kupelekewa kukubaliwa na wasanii kibao na kutaka kufanya nae video amefunguka na kusema kwamba...

Nuh mziwanda – Wema ameitengeneza hiyo Audio, Sio sauti yangu

Nuh mziwanda  amesema kuwa  sauti inayosikika kwenye audio iliyovuja akisikika akimtongoza wema sio yake, amedai hiyo audio imetengenezwa. Akiongea na mtandao wa Bongo5 Nuh...